Luka 18:11-12
11
Yule Farisayo, akasimama, akasali hivi na kuomba kwake mwenyewe: ‘Mungu, nakushukuru kwa sababu mimi si kama watu wengine ambao ni wanyangʼanyi, wadhalimu, na wazinzi, wala kama huyu mtoza ushuru.
12
Mimi nafunga mara mbili kwa juma, na natoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’