મુખ્ય સામગ્રી પર જાઓ
Luka 17:26-27

Luka 17:26-27

26
“Kama ilivyokuwa siku za Noa, ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Adamu.
27
Watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia katika safina. Ndipo gharika ikaja na kuwaangamiza wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options