Tsallake zuwa abun ciki
Luka 15:17-18

Luka 15:17-18

17
“Lakini alipozingatia moyoni mwake, akasema, ‘Ni watumishi wangapi walioajiriwa na baba yangu ambao wana chakula cha kuwatosha na kusaza, bali mimi hapa nakufa kwa njaa!
18
Nitaondoka na kurudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimetenda dhambi mbele za Mungu na mbele yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options