Skip to content
Luka 10:5-7

Luka 10:5-7

5
“Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
6
Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.
7
Kaeni katika nyumba hiyo, mkila na kunywa kile watakachowapa, kwa sababu kila mtendakazi anastahili malipo yake. Msihamehame kutoka nyumba hadi nyumba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options