Luka 10:33-34
33
Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri alipomwona, alimhurumia.
34
Akaenda alipokuwa na akasafisha majeraha yake kwa divai na mafuta, kisha akayafunga. Ndipo akampandisha kwenye punda wake, akampeleka mpaka kwenye nyumba ya wageni na kumtunza.