Skip to content
Luka 10:19-20

Luka 10:19-20

19
Tazama nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na juu ya nguvu zote za adui; wala hakuna kitu chochote kitakachowadhuru.
20
Basi, msifurahi kwa kuwa pepo wachafu wanawatii, bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options