Skip to content
Luka 1:24-25

Luka 1:24-25

24
Baada ya muda usio mrefu, Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano.
25
Akasema, “Hili ndilo Bwana alilonitendea aliponiangalia kwa upendeleo na kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options