Skip to content
Luka 1:11-12

Luka 1:11-12

11
Ndipo malaika wa Bwana, akiwa amesimama upande wa kuume wa madhabahu ya kufukizia uvumba, akamtokea Zekaria.
12
Zekaria alipomwona huyo malaika, akafadhaika sana, akajawa na hofu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options