33
Msitoke kwenye ingilio la Hema la Kukutania kwa muda wa siku saba, mpaka siku zenu za kuwekwa wakfu ziwe zimetimia, kwa kuwa muda wenu wa kuwekwa wakfu utakuwa siku saba.
34
Lile lililofanyika leo liliagizwa na Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.