Skip to content
Walawi 8:31-32

Walawi 8:31-32

31
Kisha Mose akamwambia Aroni na wanawe, “Pika hiyo nyama kwenye ingilio la Hema la Kukutania, na uile hapo pamoja na mkate kutoka kwenye kikapu cha sadaka ya kuweka wakfu, kama nilivyoagiza, nikisema, ‘Aroni na wanawe wataila.’
32
Kisha teketeza nyama na mikate iliyobaki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options