דלג לתוכן
Walawi 8:18-19

Walawi 8:18-19

18
Kisha Mose akamleta kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa chake.
19
Ndipo Mose akamchinja yule kondoo dume na kunyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options