Skip to content
Walawi 8:1-4

Walawi 8:1-4

1
Bwana akamwambia Mose,
2
“Waletee Aroni na wanawe mavazi yao, mafuta ya upako, fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo dume wawili na kikapu chenye mikate iliyotengenezwa bila chachu.
3
Kisha kusanya mkutano wote kwenye ingilio la Hema la Kukutania.”
4
Mose akafanya kama Bwana alivyomwagiza, na mkutano ukakusanyika kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options