Skip to content
Walawi 8:1-2

Walawi 8:1-2

1
Bwana akamwambia Mose,
2
“Waletee Aroni na wanawe mavazi yao, mafuta ya upako, fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo dume wawili na kikapu chenye mikate iliyotengenezwa bila chachu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options