Skip to content
Walawi 3:7-8

Walawi 3:7-8

7
Kama akimtoa mwana-kondoo, atamleta mbele za Bwana.
8
Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake, naye atamchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options