ഉള്ളടക്കത്തിലേക്ക് പോകുക
Walawi 3:16-17

Walawi 3:16-17

16
Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri. Mafuta yote ya mnyama ni ya Bwana.
17
“ ‘Hii ni kanuni ya kudumu kwa vizazi vijavyo, popote muishipo: Msile mafuta yoyote ya mnyama wala damu.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options