Skip to content
Walawi 26:38-39

Walawi 26:38-39

38
Mtaangamia katikati ya mataifa; nchi ya adui zenu itawala.
39
Wale wenu watakaobaki wataangamia katika nchi za adui zao kwa sababu ya dhambi zao; pia kwa sababu ya dhambi za baba zao wataangamia.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options