Skip to content
Walawi 25:23-24

Walawi 25:23-24

23
“ ‘Kamwe ardhi isiuzwe kwa mkataba wa kudumu, kwa sababu nchi ni mali yangu, nanyi ni wageni na wapangaji wangu.
24
Katika nchi yote mtakayoshika kuwa milki yenu, ni lazima mtoe ukombozi wa ardhi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options