דלג לתוכן
Walawi 25:21-22

Walawi 25:21-22

21
Nitawapelekeeni baraka ya pekee katika mwaka wa sita, kwamba nchi itazalisha mazao ya kutosha kwa miaka mitatu.
22
Mnapopanda mwaka wa nane, mtakula mavuno ya miaka iliyopita. Pia mtaendelea kuyala mazao hayo hadi mvune mavuno ya mwaka wa tisa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options