Skip to content
Walawi 25:18-19

Walawi 25:18-19

18
“ ‘Fuateni amri zangu, mwe waangalifu kutii amri zangu, nanyi mtaishi salama katika nchi.
19
Kisha nchi itazaa matunda yake, nanyi mtakula na kushiba na kuishi humo kwa salama.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options