Skip to content
Walawi 23:44

Walawi 23:44

Inaonyesha mstari 44 pamoja na muktadha unaouzunguka.
41
Mtaadhimisha siku hii kuwa sikukuu kwa Bwana kwa siku saba kila mwaka. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo; iadhimisheni mwezi wa saba.
42
Mtaishi katika vibanda kwa siku saba: Wazawa wote wa Waisraeli wataishi katika vibanda,
43
ili wazao wenu wajue kuwa niliwafanya Waisraeli waishi kwenye vibanda nilipowatoa Misri. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”
44
Kwa hiyo Mose akawatangazia Waisraeli sikukuu zilizoamriwa na Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options