Skip to content
Walawi 23:26-27

Walawi 23:26-27

26
Bwana akamwambia Mose,
27
“Siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni Siku ya Upatanisho. Mtafanya kusanyiko takatifu, mfunge, nanyi mtoe sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options