Skip to content
Walawi 21:13-15

Walawi 21:13-15

13
“ ‘Mwanamke kuhani atakayemwoa lazima awe bikira.
14
Kamwe asimwoe mjane, au mwanamke aliyepewa talaka, wala mwanamke aliyejinajisi kwa ukahaba, bali atamwoa tu bikira kutoka miongoni mwa watu wake,
15
na hivyo hatawatia unajisi watoto wake miongoni mwa watu wake. Mimi ndimi Bwana, nimfanyaye mtakatifu.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options