Skip to content
Walawi 21:13-14

Walawi 21:13-14

13
“ ‘Mwanamke kuhani atakayemwoa lazima awe bikira.
14
Kamwe asimwoe mjane, au mwanamke aliyepewa talaka, wala mwanamke aliyejinajisi kwa ukahaba, bali atamwoa tu bikira kutoka miongoni mwa watu wake,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options