Skip to content
Walawi 2:5-7

Walawi 2:5-7

5
Iwapo sadaka yako ya nafaka imeandaliwa kwenye kikaango, itakuwa ni ya unga laini uliochanganywa na mafuta, bila chachu.
6
Ukande na kumimina mafuta juu yake; hii ni sadaka ya nafaka.
7
Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa kwenye sufuria, itatengenezwa kwa unga laini na mafuta.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options