Skip to content
Walawi 2:5-6

Walawi 2:5-6

5
Iwapo sadaka yako ya nafaka imeandaliwa kwenye kikaango, itakuwa ni ya unga laini uliochanganywa na mafuta, bila chachu.
6
Ukande na kumimina mafuta juu yake; hii ni sadaka ya nafaka.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options