Перейти до вмісту
Walawi 19:15-16

Walawi 19:15-16

15
“ ‘Usipotoshe haki; usionyeshe kumpendelea maskini, wala upendeleo kwa mwenye cheo, bali mwamulie jirani yako kwa haki.
16
“ ‘Usieneze uchochezi miongoni mwa watu wako. “ ‘Usifanye kitu chochote kile kinachohatarisha maisha ya jirani yako. Mimi ndimi Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options