Skip to content
Walawi 19:13-14

Walawi 19:13-14

13
“ ‘Usimdhulumu wala kumwibia jirani yako. “ ‘Usishikilie mshahara wa kibarua usiku kucha hadi asubuhi.
14
“ ‘Usimlaani kiziwi, wala usiweke kikwazo mbele ya kipofu, lakini umche Mungu wako. Mimi ndimi Bwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options