Skip to content
Walawi 18:4-5

Walawi 18:4-5

4
Ni lazima mzitii sheria zangu, na mwe waangalifu kuzifuata amri zangu. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
5
Zishikeni amri zangu na sheria zangu, kwa maana mtu anayezitii ataishi kwa hizo. Mimi ndimi Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options