Skip to content
Walawi 17:8-9

Walawi 17:8-9

8
“Waambie: ‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwao atakayetoa sadaka ya kuteketezwa au dhabihu
9
bila kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kutoa dhabihu kwa Bwana, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options