Skip to content
Walawi 13:29-31

Walawi 13:29-31

29
“Ikiwa mwanaume au mwanamke ana kidonda juu ya kichwa au juu ya kidevu,
30
kuhani atakichunguza kile kidonda, na kama ataona kuwa kimeingia ndani, na nywele zilizoko juu yake ni njano na nyembamba, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa najisi, kwani ni upele; ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza wa kichwa au kidevu.
31
Lakini kama kuhani akichunguza aina hii ya kidonda, kionekane kuwa hakina shimo na hakuna nywele nyeusi juu yake, basi atamtenga mtu huyo kwa siku saba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options