Skip to content
Walawi 13:12-14

Walawi 13:12-14

12
“Ikiwa ugonjwa utakuwa umeenea kwenye ngozi yake yote kwa kadiri kuhani atakavyoweza kuona, kwamba umeenea kwenye ngozi yote ya huyo mgonjwa kutoka kichwani mpaka wayo,
13
kuhani atamchunguza, na kama ugonjwa umeenea mwili mzima, atamtangaza huyo mtu kuwa safi. Kwa kuwa mwili wote umekuwa mweupe, yeye ni safi.
14
Lakini itokeapo nyama mbichi kwenye ngozi yake, atakuwa najisi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options