Skip to content
Walawi 11:7-8

Walawi 11:7-8

7
Naye nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika sehemu mbili, hacheui; huyo ni najisi kwenu.
8
Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options