Walawi 11:4-6
4
“ ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu.
5
Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.
6
Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.
Settings