Walawi 11:21-23
21
Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi.
22
Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi.
23
Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.
Settings