Skip to content
Walawi 11:2-3

Walawi 11:2-3

2
“Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala:
3
Mwaweza kula mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na ambaye hucheua.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options