דלג לתוכן
Walawi 1:6-9

Walawi 1:6-9

6
Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
7
Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.
8
Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
9
Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options