Skip to content
Walawi 1:6-8

Walawi 1:6-8

6
Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
7
Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.
8
Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options