Skip to content
Walawi 1:5-6

Walawi 1:5-6

5
Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania.
6
Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options