Walawi 1:5-6
5
Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania.
6
Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.