Maombolezo 3:19-23
19
Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu, uchungu na nyongo.
20
Ninayakumbuka vyema, nayo nafsi yangu imezimia ndani yangu.
21
Hata hivyo najikumbusha neno hili na kwa hiyo ninalo tumaini.
22
Kwa sababu ya upendo mkuu wa Bwana, hatuangamii, kwa kuwa huruma zake hazikomi kamwe.
23
Ni mpya kila asubuhi, uaminifu wako ni mkuu.
Settings