Skip to content
Maombolezo 3:17-19

Maombolezo 3:17-19

17
Amani yangu imeondolewa, nimesahau kufanikiwa ni nini.
18
Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka na yale yote niliyokuwa nimetarajia kutoka kwa Bwana.”
19
Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu, uchungu na nyongo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options