Skip to content
Waamuzi 8:33-34

Waamuzi 8:33-34

33
Mara tu alipofariki Gideoni, Waisraeli wakarudia hali ya uovu na kufanya uasherati kwa kuabudu Mabaali. Wakamsimamisha Baal-Berithi kuwa mungu wao na
34
wala hawakumkumbuka Bwana Mungu wao, aliyewaokoa kutoka mikononi mwa adui zao wote kutoka kila upande.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options