Skip to content
Waamuzi 8:16-17

Waamuzi 8:16-17

16
Akawachukua hao viongozi wa mji na kuwafundisha watu wa Sukothi somo kwa kuwaadhibu kwa miiba na michongoma ya nyikani.
17
Pia akaubomoa mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options