Skip to content
Waamuzi 3:29-30

Waamuzi 3:29-30

29
Wakati huo wakawaua Wamoabu watu waume wapatao 10,000 ambao wote walikuwa wenye nguvu na mashujaa; hakuna mtu yeyote aliyetoroka.
30
Siku ile Moabu wakashindwa na Israeli, nayo nchi ikawa na amani kwa miaka themanini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options