Skip to content
Waamuzi 3:13-14

Waamuzi 3:13-14

13
Egloni akawataka Waamoni na Waamaleki waungane naye, akaja kuishambulia Israeli, nao wakatwaa Mji wa Mitende
14
Waisraeli wakawa chini ya Egloni mfalme wa Moabu kwa muda wa miaka kumi na minane.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options