Ir al contenido
Waamuzi 3:12-13

Waamuzi 3:12-13

12
Waisraeli wakafanya maovu mbele za Bwana tena, kwa kuwa walifanya maovu hayo Bwana akamtia nguvu Egloni mfalme wa Moabu dhidi ya Israeli.
13
Egloni akawataka Waamoni na Waamaleki waungane naye, akaja kuishambulia Israeli, nao wakatwaa Mji wa Mitende
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options