Skip to content
Waamuzi 15:15-16

Waamuzi 15:15-16

15
Ndipo akaona mfupa mpya wa taya la punda, akanyoosha mkono, akauchukua na kuua nao Wafilisti wapatao 1,000.
16
Ndipo Samsoni akasema, “Kwa taya la punda malundo juu ya malundo. Kwa taya la punda nimeua watu 1,000.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options