Skip to content
Waamuzi 1:31-32

Waamuzi 1:31-32

31
Wala Asheri hawakuwafukuza wale walioishi huko Ako, Sidoni, Alabu, Akzibu, Helba, Afeki wala Rehobu
32
na kwa sababu ya jambo hili Waasheri wakaishi miongoni mwa Wakanaani, wenyeji wa nchi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options