Skip to content
Yoshua 6:18-19

Yoshua 6:18-19

18
Lakini mjiepushe na vitu vilivyowekwa wakfu, msije mkachukua chochote katika hivyo, msije mkajiletea maangamizi katika maskani ya Israeli na kuiletea taabu.
19
Fedha yote na dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Bwana, lazima viletwe katika hazina yake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options