Skip to content
Yoshua 13:7-8

Yoshua 13:7-8

7
sasa basi, ligawanye eneo hili kwa yale makabila tisa na ile nusu ya kabila la Manase kuwa urithi.”
8
Ile nusu nyingine ya Manase, Wareubeni na Wagadi, walishapokea urithi Mose aliokuwa amewapa mashariki mwa Yordani, sawasawa na mtumishi wa Bwana alivyowagawia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options