Skip to content
Yoshua 10:16-18

Yoshua 10:16-18

16
Basi wale wafalme watano wakawa wamekimbia kujificha kwenye pango huko Makeda.
17
Yoshua alipoambiwa kuwa wafalme hao watano wamekutwa wakiwa wamejificha ndani ya pango huko Makeda,
18
akasema, “Vingirisheni mawe makubwa kwenye mdomo wa hilo pango, tena wekeni walinzi wa kulilinda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options